Thursday 25 August 2016

Picha

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Momba, Adrian Jovin Jungu akisaidiana na mkuu wa mkoa wa Songwe kuhakiki mahudhulio ya wanafunzi darasani katika shule ya msingi Ivuna

Picha

Mkuu wa mkoa wa Songwe akiongea na wanafunzi darasani

Picha

Mkuu wa mkoa wa Songwe Chiku Gallawa akitembelea shule ya msingi Ivuna ilikukagua hali halisi ya idadi ya wanafunzi na chakula wakati wa masomo.

Picha

Mkuu wa Mkoa wa Songwe akipokelewa kwa shangwe na wanawake kwenye Zahanati ya Ivuna wilayani Momba

Picha

Ujenzi wa msingi ukiendelea

Picha

Mkuu wa mkoa wa Songwe Chiku Gallawa akiongeza nguvukazi katika ujenzi wa msingi

Picha