HABARI

Mmoja wa wawezeshaji katika mafunzo ya ujasliamali Leons Mtana akitoa sababu ya kuwaelimisha wajasiliamali mjini Tunduma
Mbunge wa jimbo la Vwawa akiwashukuru wananchi wa jimbo la Vwawa kwa kumchagua
Wana CCM jimbo la Vwawa wakisherehekea ushindi wa mbunge wao Japhet Hasunga
Mwenyekiti wa vijana CCM wilaya ya Mbozi akiwashukuru wananchi wa jimbo la Vwawa kwa kumpigia kura mgombea ubunge jimbo la Vwawa Japhet Hasunga
Wanachama wa CCM jimbo la Tunduma wakiwa kwenye shamrashara baada ya mgombea wa urais kupitia chama hicho Joseph Pombe Magufuli kutangazwa kuwa mshindi wa kiti cha urais
''Sio pombe wala uchizi ni  mizuka ya Magufuli'' ,,,,,,,alisikika mwana chama huyu wa CCM jimbo la Tunduma akigaagaa kwenye tope akidai anafurahia ushindi wa Magufuli kutangaza kuwa rais.
baadhi ya wadau wa taasisi zilizoalikwa kuwaelimisha wajasiliamali hao kuhusiana na taratibu mbalimbali za kibiashara kama Uhamiaji Tunduma, TRA, Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Momba , Idara ya Biashara Halmasauli ya Momba , SIDO Mkoa wa Mbeya TCCIA, SACCOS, VICOBA, TFDA na TBS

No comments:

Post a Comment