Thursday, 25 August 2016

Picha

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Momba, Adrian Jovin Jungu akisaidiana na mkuu wa mkoa wa Songwe kuhakiki mahudhulio ya wanafunzi darasani katika shule ya msingi Ivuna

Picha

Mkuu wa mkoa wa Songwe akiongea na wanafunzi darasani

Picha

Mkuu wa mkoa wa Songwe Chiku Gallawa akitembelea shule ya msingi Ivuna ilikukagua hali halisi ya idadi ya wanafunzi na chakula wakati wa masomo.

Picha

Mkuu wa Mkoa wa Songwe akipokelewa kwa shangwe na wanawake kwenye Zahanati ya Ivuna wilayani Momba

Picha

Ujenzi wa msingi ukiendelea

Picha

Mkuu wa mkoa wa Songwe Chiku Gallawa akiongeza nguvukazi katika ujenzi wa msingi

Picha


Picha


Picha

Timu ya mafundi kutoka Jeshi la Wananchi, Magereza, Mgambo, Halmashauri ya wilaya na wananchi wa wilaya ya Momba wakijenga msingi wa kituo cha polisi.

Picha

Wadau mbalimbali wa maendeleo wakijadili kabla ya kuanza kuchimba msingi wa Kituo cha polisi makao makuu ya wilaya ya Momba mkoani Songwe
Mkuu wa mkoa wa Songwe Chiku Gallawa  akielekea kwenye eneo la ujenzi wa kituo cha Polisi cha wilaya ya Momba kilichopo katika makao makuu ya wilaya  Chitete.

Picha

Mkuu wa wilaya ya Momba,  Juma Said Irando, akikagua gari iliyobeba mazao kama msafirishaji amelipia ushuru wa mazao wilayani Momba  23 Agosti,  2016.

Thursday, 12 May 2016

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Luteni Mstaafu Chiku Galawa  amefanya press conference na waadishi wa Habari Mikoa ya Mbeya na Songwe.




Mkuu wa Mkoa wa Songwe  Luteni Kanali mstaafu Chiku Galawa akiwa katika picha ya pamoja na Waandishi wa habari mara baada ya mkutano na Waandishi wa habari 

Hatimaye watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Momba wahamia  Makao Makuu ya Wilaya katika Kijiji cha Chitete.


Wataalam wa Idara ya Ardhi wakifanya maandalizi ya kupima viwanja kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za watumishi katika eneo la Kijiji cha Tindingoma lililopo katika eneo la makao makuu ya Wilaya ya Momba

Ziara ya Mkuu wa Mkoa Luteni Mstaafu Chiku Galawa katika  migodi ya  Shanti Gold Mine iliyopo katika Wilaya ya Songwe.



Ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Songwe Luteni Mstaafu Chiku Galawa katika migodi ya Makaa ya Mawe yaliyopo katika Kijiji cha Magamba Wilaya ya Mbozi.




Mkuu wa Mkoa Luteni mtaafu  Chiku Galawa akipata maelezo ya uchimbaji Makaa ya mawe kutoka kwa msimamizi A. Mwakinyafu katika kijiji cha Magamba kilichopo mpakani mwa Wilaya ya Songwe na Mbozi
Mku wa Mkoa akibadilisha mawazo na ASP Nyandular Operation Officer wa Mkoa wa Songwe.





Sunday, 17 April 2016

Mkuu wa mkoa Luteni Mstaafu Chiku Galawa akiangalia ramani ya makao makuu ya wilaya ya Momba

Mkuu wa mkoa wa Songwe Luteni Msataafu Chiku Galawa akioneshwa na kufafanuliwa ramani ya makao makuu ya wilaya ya Momba kutoka kwa  kaimu Afisa Ardhi wa Wilaya Kelvin Tujangaje katika eneo la Ujenzi lililopo katika kijiji cha Chitete tarafa ya Msangano.

video

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Chiku Galawa akitoa tamko kuwa Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Momba wahamie  Makao makuu katika kijiji cha Chitete.

Monday, 11 April 2016

picha




Ngazi za awali za maporomoko ya mto Momba katika kijiji cha Mfuto, Kata ya Myunga Wilayani Momba

Thursday, 7 April 2016

picha


Picha

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Luteni mstaafu Chiku Galawa akijumuika na msanii Rostina  Mpenzu wa nyimbo za kuhamasisha maendeleo, katika ziara yake wilayani humo

Picha

Mkuu wa wilaya ya Ileje Rosemary Senyamule akitoa taarifa ya wilaya kwa Mkuu wa mkoa wa Songwe  Luteni Mstaafu Chiku  Galawa 

Picha

Watumishi na wadau mbalimbali wa Halmashauri ya wilaya ya Ileje wakimsikiliza mkuu wa mkoa mpya Luteni Mstaafu Chiku Galawa wakati wa ziara yake wilayani humo.

Picha

 Mkuu wa mkoa wa Songwe Luteni mstaafu Chiku Galawa akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Ileje na wadau mbalimbali April 6, 2016.


Picha

Mkuu wa mkoa Mpya wa Songwe Luteni mstaafu Chiku Galawa akinawa mikono baada ya kupanda mti katika sekondari ya Itumba wilayani Ileje, ili kuhamasisha jamii ipande miti kupambana na mabadiliko ya tabianchi.

Picha

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Luteni mstaafu Chiku Galawa akijiandaa kuondoka baada ya kuhitimisha ziara yake katika eneo la Sekondari ya Itumba wilayani Ileje April 6, 2016

Picha

Ujenzi wa nyumba ya Mkuu wa Wilaya ya Momba.

Picha

Ujenzi wa nyumba ya Katibu Tawala 

Picha

Msafara wa mkuu wa mkoa wa Songwe ukitokea kwenye eneo la ujenzi la makao makuu ya wilaya ya Momba lililopo katika kijiji cha Tindingoma kata ya Chitete

Picha

Watumishi na wadau mbalimbali wa Halmashauri ya wilaya ya Momba wakimsikiliza kwa makini Mkuu wa mkoa mpya wa Songwe Luteni mstaafu Chiku Galawa wakati wa ziara yake katika ukumbi wa mikutano uliopo kwenye makao makuu ya muda Ukwile Mbozi.

Picha

 Mkuu wa mkoa wa Songwe Luteni mstaafu Chiku Galawa akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Momba na wadau mbalimbali April 5, 2016

Picha

 Mkuu wa mkoa wa Songwe Luteni mstaafu Chiku Galawa akisalimiana na kaimu mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Momba Christopher Henerico April 5 mwaka huu wakati wa ziara ya mkuu wa mkoa katika kufahamiana na watumishi  mbalimbali wa wilaya hiyo.

Picha

Luteni mstaafu mkuu wa mkoa wa Songwe Chiku Galawa akipokelewa na Kamati ya ulinzi na usalama katika Halmashauri ya wilaya ya Momba.

Picha

Mkuu wa wilaya ya Momba Richard Mbeho akimpokea mkuu wa Mkoa mpya wa Songwe Luteni mstaafu Chiku Galawa katika Halmashauri ya  wilaya ya Momba April 5 mwaka huu. ikiwa ni mwendelezo wa kujitambulisha katika wilaya za mkoa wa Songwe.

Saturday, 30 January 2016

picha

Madiwani wa wilaya ya Momba wakijadili ajenda mbalimbali na changamoto zinazowakabili wananchi wa Momba .

picha

Mkuu wa wilaya ya Momba Richard Mbeho akiwahimiza madiwani wa wilaya ya Momba kuitisha mikutano ya hazara ili kuwafafanulia wananchi miongozo mbalimbali ya serikali ili waweze kuielewa, katika balaza la madiwani lililofanyika katika Halmashauri ya Momba Januari 29 mwaka huu.