![]() |
| Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Momba, Adrian Jovin Jungu akisaidiana na mkuu wa mkoa wa Songwe kuhakiki mahudhulio ya wanafunzi darasani katika shule ya msingi Ivuna |
Thursday, 25 August 2016
Picha
Picha
Picha
Picha
Wadau mbalimbali wa maendeleo wakijadili kabla ya kuanza kuchimba msingi wa Kituo cha polisi makao makuu ya wilaya ya Momba mkoani Songwe
Picha
![]() |
| Mkuu wa wilaya ya Momba, Juma Said Irando, akikagua gari iliyobeba mazao kama msafirishaji amelipia ushuru wa mazao wilayani Momba 23 Agosti, 2016. |
Thursday, 12 May 2016
Hatimaye watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Momba wahamia Makao Makuu ya Wilaya katika Kijiji cha Chitete.
Wataalam wa Idara ya Ardhi wakifanya maandalizi ya kupima viwanja kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za watumishi katika eneo la Kijiji cha Tindingoma lililopo katika eneo la makao makuu ya Wilaya ya Momba
Ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Songwe Luteni Mstaafu Chiku Galawa katika migodi ya Makaa ya Mawe yaliyopo katika Kijiji cha Magamba Wilaya ya Mbozi.
Mkuu wa Mkoa Luteni mtaafu Chiku Galawa akipata maelezo ya uchimbaji Makaa ya mawe kutoka kwa msimamizi A. Mwakinyafu katika kijiji cha Magamba kilichopo mpakani mwa Wilaya ya Songwe na Mbozi
Mku wa Mkoa akibadilisha mawazo na ASP Nyandular Operation Officer wa Mkoa wa Songwe.
Sunday, 17 April 2016
Mkuu wa mkoa Luteni Mstaafu Chiku Galawa akiangalia ramani ya makao makuu ya wilaya ya Momba
video
Monday, 11 April 2016
Thursday, 7 April 2016
Picha
Picha
Picha
Picha
Picha
Picha
Picha
Picha
Picha
Picha
Mkuu wa mkoa wa Songwe Luteni mstaafu Chiku Galawa akisalimiana na kaimu mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Momba Christopher Henerico April 5 mwaka huu wakati wa ziara ya mkuu wa mkoa katika kufahamiana na watumishi mbalimbali wa wilaya hiyo.
Picha
Luteni mstaafu mkuu wa mkoa wa Songwe Chiku Galawa akipokelewa na Kamati ya ulinzi na usalama katika Halmashauri ya wilaya ya Momba.
Picha
Mkuu wa wilaya ya Momba Richard Mbeho akimpokea mkuu wa Mkoa mpya wa Songwe Luteni mstaafu Chiku Galawa katika Halmashauri ya wilaya ya Momba April 5 mwaka huu. ikiwa ni mwendelezo wa kujitambulisha katika wilaya za mkoa wa Songwe.
Saturday, 30 January 2016
picha
picha
Mkuu wa wilaya ya Momba Richard Mbeho akiwahimiza madiwani wa wilaya ya Momba kuitisha mikutano ya hazara ili kuwafafanulia wananchi miongozo mbalimbali ya serikali ili waweze kuielewa, katika balaza la madiwani lililofanyika katika Halmashauri ya Momba Januari 29 mwaka huu.
Subscribe to:
Comments (Atom)































