| wagombea wa nafasi ya ubunge kupitia tiketi ya CCM jimbo la Vwawa wilaya ya Mbozi |
| Pichani ni msanii wa nyimbo za asili Nyondo akitumbuiza katika kikao cha ndani ya chama katika kata ya Ilolo |
| Mgombea wa kiti cha ubunge ndugu Stanislaus Nsojo kupitia chama cha mapinduzi akinadi sera zake katika kikao cha ndani ya chama, kata ya Ilolo Vwawa |
| Pichani ni mmoja wa wagombea wakiti cha ubunge kupitia CCM ndungu John Ntenga akinadi sera zake katika kikao cha ndani kata ya Ilolo |
| Mwanachama wa chama cha Mapinduzi akiuliza swali kitika kikao cha ndani kata ya Ilolo |
| Mgombea akitoa ufafanuzi katika sera zake |
| Pichani mgombea wa ubunge ndugu Nducha akieleza vipaumbele vyake kwa wanachama wa ccm wa kata ya ilolo |
| Pichani ni mgombea akisikiliza kwa makini maswali ya wanachama cha mapinduzi kutokana na sera zake |
| Pichani wanachama wakiwasikiliza wagombea wakiti cha ubunge kupitia Chama Chama CCM kwenye kikao cha ndani kata ya Ilolo |
| Pichani
ni mmoja wa wagombea wakiti cha ubunge kupitia CCM ndungu John Hsunga
akinadi sera zake katika kikao cha ndani kata ya Ilolo |
| Pichani
ni wagombea wakiti cha ubunge kupitia Chama Chama CCM baada ya kikao cha ndani kata ya Ilolo |
| Pichani
ni wagombea wakiti cha ubunge kupitiaChama Chama CCM baada ya kikao cha ndani kata ya Ilolo |
No comments:
Post a Comment