Saturday, 1 August 2015

wagombea wa nafasi ya ubunge kupitia tiketi ya CCM jimbo la Vwawa wilaya ya Mbozi

Pichani ni msanii  wa nyimbo za asili Nyondo akitumbuiza katika kikao cha ndani ya chama katika kata ya Ilolo

Mgombea wa kiti cha ubunge ndugu Stanislaus Nsojo kupitia chama cha mapinduzi akinadi sera zake katika kikao cha ndani ya chama, kata ya Ilolo Vwawa

Pichani ni mmoja wa wagombea wakiti cha ubunge kupitia CCM ndungu John Ntenga akinadi sera zake katika kikao cha ndani kata ya Ilolo

Mwanachama wa chama cha Mapinduzi akiuliza swali kitika kikao cha ndani kata ya Ilolo

Mgombea akitoa ufafanuzi katika sera zake

Pichani mgombea wa ubunge ndugu Nducha akieleza vipaumbele vyake kwa wanachama wa ccm wa kata ya ilolo

Pichani ni mgombea akisikiliza kwa makini maswali ya wanachama cha mapinduzi kutokana na sera zake

Pichani wanachama wakiwasikiliza  wagombea wakiti cha ubunge kupitia Chama Chama CCM kwenye kikao cha ndani kata ya Ilolo


Pichani ni mmoja wa wagombea wakiti cha ubunge kupitia CCM ndungu John Hsunga  akinadi sera zake katika kikao cha ndani kata ya Ilolo


Pichani ni  wagombea wakiti cha ubunge kupitia Chama Chama CCM baada ya kikao cha ndani kata ya Ilolo

Pichani ni  wagombea wakiti cha ubunge kupitiaChama Chama CCM baada ya kikao cha ndani kata ya Ilolo

No comments:

Post a Comment