Waziri wa kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza akisalimiana na Mkurugenzi wa Wilaya ya Momba, Anton Mwantona
Waziri Christopher Chiza akisomewa taarifa kuhusu mradi wa umwagiliaji wa katika kijiji cha Iyendwe kilichopo katika Kata ya Kapele, Wilaya ya Momba.
Sehemu ya ukuta wa banio la maji lililoharibiwa na msukumo wa maji katika mradi wa umwagiliaji wa Iyendwe
