Sunday, 21 September 2014

Kimondo tours

 Waziri wa kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza akisalimiana na Mkurugenzi wa Wilaya ya Momba, Anton Mwantona
 Waziri Christopher Chiza akisomewa taarifa kuhusu mradi wa umwagiliaji wa katika kijiji cha Iyendwe kilichopo katika Kata ya Kapele, Wilaya ya Momba.
Sehemu ya ukuta wa banio la maji lililoharibiwa na msukumo wa maji katika mradi wa umwagiliaji wa Iyendwe

Monday, 8 September 2014

News and Events



Waziri Eng. Chiza akisalimiana na uongozi wa Chama na Serikali wa Wilaya ya Momba

Wednesday, 3 September 2014

Contact Us

Ndama hawa wana umri wa mwaka mmoja. Ndama mwenye umbile kubwa ametokana na dume Borani na     mwenye umbile dogo ametokana na dume la ng'ombe wa asili.

Mashine ya CD4 iliyoibiwa katika kituo cha afya cha Tunduma yapatikana Zambia


Timu ya Afya iliyohusika kufuata mashine ya CD 4 Lusaka mara baada ya kufika katika makao makuu ya Wilaya ya Momba

Tuesday, 2 September 2014

MAANDALIZI YA KAZI

Mtaalamu wa mitambo akiendelea na maandalizi ya kutengeneza comedy inayoitwa "SIAMINI"