Thursday, 12 May 2016

Hatimaye watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Momba wahamia  Makao Makuu ya Wilaya katika Kijiji cha Chitete.


Wataalam wa Idara ya Ardhi wakifanya maandalizi ya kupima viwanja kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za watumishi katika eneo la Kijiji cha Tindingoma lililopo katika eneo la makao makuu ya Wilaya ya Momba

No comments:

Post a Comment