Mkuu wa Mkoa wa Songwe Luteni Mstaafu Chiku Galawa amefanya press conference na waadishi wa Habari Mikoa ya Mbeya na Songwe.
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Luteni Kanali mstaafu Chiku Galawa akiwa katika picha ya pamoja na Waandishi wa habari mara baada ya mkutano na Waandishi wa habari










