Saturday, 30 January 2016

picha

Madiwani wa wilaya ya Momba wakijadili ajenda mbalimbali na changamoto zinazowakabili wananchi wa Momba .

picha

Mkuu wa wilaya ya Momba Richard Mbeho akiwahimiza madiwani wa wilaya ya Momba kuitisha mikutano ya hazara ili kuwafafanulia wananchi miongozo mbalimbali ya serikali ili waweze kuielewa, katika balaza la madiwani lililofanyika katika Halmashauri ya Momba Januari 29 mwaka huu.