Saturday, 14 November 2015
picha
Picha
Wanawake wa Tunduma wafundwa
Wanawake wajasiliamali zaidi ya sabini mjini Tunduma wilayani Momba mkoa wa Songwe wamefundishwa namna ya kurasimisha biashara zao ili waweze kuzitumia fursa za kibiashara zilizoko mipakani mwa nchi kwa lengo la kuepukana na changamoto wanazokumbana katika biashara hizo.
Mafunzo hayo yalitolewa jana na kampuni ya Tanzania Women Chamber of Commerce (TWCC) inayolenga kuwaendeleza kibiashara wanawake wajasiliamali hapa nchini.
Taassisi zilizoalikwa kuwaelimisha wajasiliamali hao kuhusiana na taratibu mbalimbali za kibiashara ni pamoja na Uhamiaji Tunduma, TRA, Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Momba , Idara ya Biashara Halmasauli ya Momba , SIDO Mkoa wa Mbeya TCCIA, SACCOS, VICOBA, TFDA na TBS
Wakinamama hao walifundishwa jinsi ya kupata mitaji, kukuza na kuendeleza biashara zao kwani wanawake wengi wanaofanya biashara hizo wanashindwa kunufaika na fursa zilizopo nje na ndani ya nchi kutokana na kuwa na mitaji midogo na kukosa elimu ya ujasiliamali.
Mmoja wa wawezeshaji katika mafunzo hayo Leons Mtana alitoa sababu ya kuwaelimisha wajasiliamali hao kuwa ni kufanya biashara zao ziweze kutambulika kwa mamlaka husika ikiwemo kuwa na leseni ya biashara,kuwa na tini namba na kulipa mapato halali.
Mtana aliongeza sababu nyingine kuwa kusajili majina ya kampuni kunasaidia biashara zao kuweza kuthibitishwa na Shirika la Viwango (TBS) na Mamlaka ya chakula na dawa (TFDA) kwa lengo la kutangaza biashara zao na kuzifanya zikubalike katika masoko ya ndani na nje ya nchi.
Mmoja wa washiriki katika mafunzo hayo Rehema Ulivia ambaye ni mwenyekiti katika jukwaaa la wanawake kitengo cha miradi Mji wa Tunduma amewaasa wakinamama wa Tunduma kujitokeza kwa wingi zinapotokea fursa kama hizo
‘’Nimejifunza faida ya kufanya biashara nje ya nchi, na nimeelewa nifuate taratibu gani kuweza kufanya biashara na nchi jirani na nawashauri wakinamama wakisikia fursa kama hizi wajitokeze kwa wingi ’’ alisema Rehema
Kwaupande wake Pili njebele ambaye ni mjasiliamali mjini hapo alisema kuwa kutokana na mafunzo hayo, amejifunza jinsi ya kuendesha biashara zake ndogondogo na kuziendeleza ziwekubwa ili aweze kupata mtaji wakumuwezesha kufanya biashara za kuvuka mpaka.
Licha ya hayo, Majuma Hamza ambaye ni Afisa mtendaji wa Tanzania Women Chamber of Commerce (TWCC) amewashauri kina mama wasifanye biashara kinyemela bali watumie njia halali kwasababu wakikamatwa wanalipishwa pesa nyingi ambayo ingesaidia katika kuongeza mtaji katika biashara zao.
Hata hivyo, Tunduma ni mji uliopo kwenye mpaka wa Tanzania na Zambia ambapo pia ni lango la kuingilia na kutokea katika nchi jirani kama Zambia na Jamuhuri ya Kidemokrasia Ya Congo, mji huo unasifika kwa biashara unazidi kukua kutokana na mzunguko wa watu ikiwa ni pamoja na wageni kutoka nchi jirani na wenyeji.
Mafunzo hayo yalitolewa jana na kampuni ya Tanzania Women Chamber of Commerce (TWCC) inayolenga kuwaendeleza kibiashara wanawake wajasiliamali hapa nchini.
Taassisi zilizoalikwa kuwaelimisha wajasiliamali hao kuhusiana na taratibu mbalimbali za kibiashara ni pamoja na Uhamiaji Tunduma, TRA, Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Momba , Idara ya Biashara Halmasauli ya Momba , SIDO Mkoa wa Mbeya TCCIA, SACCOS, VICOBA, TFDA na TBS
Wakinamama hao walifundishwa jinsi ya kupata mitaji, kukuza na kuendeleza biashara zao kwani wanawake wengi wanaofanya biashara hizo wanashindwa kunufaika na fursa zilizopo nje na ndani ya nchi kutokana na kuwa na mitaji midogo na kukosa elimu ya ujasiliamali.
Mmoja wa wawezeshaji katika mafunzo hayo Leons Mtana alitoa sababu ya kuwaelimisha wajasiliamali hao kuwa ni kufanya biashara zao ziweze kutambulika kwa mamlaka husika ikiwemo kuwa na leseni ya biashara,kuwa na tini namba na kulipa mapato halali.
Mtana aliongeza sababu nyingine kuwa kusajili majina ya kampuni kunasaidia biashara zao kuweza kuthibitishwa na Shirika la Viwango (TBS) na Mamlaka ya chakula na dawa (TFDA) kwa lengo la kutangaza biashara zao na kuzifanya zikubalike katika masoko ya ndani na nje ya nchi.
Mmoja wa washiriki katika mafunzo hayo Rehema Ulivia ambaye ni mwenyekiti katika jukwaaa la wanawake kitengo cha miradi Mji wa Tunduma amewaasa wakinamama wa Tunduma kujitokeza kwa wingi zinapotokea fursa kama hizo
‘’Nimejifunza faida ya kufanya biashara nje ya nchi, na nimeelewa nifuate taratibu gani kuweza kufanya biashara na nchi jirani na nawashauri wakinamama wakisikia fursa kama hizi wajitokeze kwa wingi ’’ alisema Rehema
Kwaupande wake Pili njebele ambaye ni mjasiliamali mjini hapo alisema kuwa kutokana na mafunzo hayo, amejifunza jinsi ya kuendesha biashara zake ndogondogo na kuziendeleza ziwekubwa ili aweze kupata mtaji wakumuwezesha kufanya biashara za kuvuka mpaka.
Licha ya hayo, Majuma Hamza ambaye ni Afisa mtendaji wa Tanzania Women Chamber of Commerce (TWCC) amewashauri kina mama wasifanye biashara kinyemela bali watumie njia halali kwasababu wakikamatwa wanalipishwa pesa nyingi ambayo ingesaidia katika kuongeza mtaji katika biashara zao.
Hata hivyo, Tunduma ni mji uliopo kwenye mpaka wa Tanzania na Zambia ambapo pia ni lango la kuingilia na kutokea katika nchi jirani kama Zambia na Jamuhuri ya Kidemokrasia Ya Congo, mji huo unasifika kwa biashara unazidi kukua kutokana na mzunguko wa watu ikiwa ni pamoja na wageni kutoka nchi jirani na wenyeji.
Tuesday, 27 October 2015
PICHA
PICHA
PICHA
PICHA
PICHA
Friday, 23 October 2015
PICHA
PICHA
Monday, 19 October 2015
PICHA
PICHA
PICHA
PICHA
PICHA
PICHA
PICHA
PICHA
PICHA
PICHA
PICHA
Sunday, 18 October 2015
PICHA
PICHA
Saturday, 17 October 2015
PICHA
PICHA
PICHA
PICHA
PICHA
PICHA
PICHA
PICHA
PICHA
Habari
Kinana:
Wapinzani mkipata mgombea urais mwenye sifa nitamnadi
Wananchi wa vyama vya upinzani wameombwa kuendelee kulipa ada za
vyama vyao kwani kwasasa hawana mgombea
mwenye sifa za kushika nchi.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Katibu Mkuu wa Chama Cha
Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana alipokuwa akimnadi mgombea wa uraisi kupitia
chama hicho Dr. John Mgofuli, kwa wananchi wa
Jimbo la Vwawa wilayani Mbozi.
‘’ Kwasasa mgombea mzuri anatoka CCM hivyo
hamnabudi kumpa kura zenu , na baadae na ninyi kwa miaka ya baadae
mkipata kiongozi mzuri nitawaambia wana CCM wampe kura zote’’ Alisema Kinana.
Akiendelea kumnadi mgombea huyo Kinana alisemakuwa Magufuli amekuwa waziri
kwa miaka ishirini hajawahi kupata kashfa yoyote, wala hajawahikufukuzwa hivyo
basi ni kiongozi mwadilifu na hodari.
Sambamba na
hayo, katibu mkuu huyo alitumia nafasi hiyo kuwaambia wananchi wa Vwawa kuwa Wizara
ya Ujenzi aliyokuwa akiishikiria Dr. Magufuri inapokea pesa nyingi lakini
hakuwahi kushawishika kupokea rushwa kwenye wizara hiyo.
Hakuishia hapo,
Abdulrahman Kinana aliongezakuwa Mgombea wa uraisi kupitia CCM Dr
Magufuli ni mtu mkweli, mtekelezaji na msimamizi mzuri na endapo watamchagua
maendeleo yatapiga hatua wakishirikiana na watendaji wengine.
Licha ya hayo, Katibu Mkuu huyo alisema kuwa
anawashangaa wagombea wa upinzani kwani wamekaa serikalini zaidi ya miaka
arobaini nao wanathubutu kuisema serikali kama haijafanya chochote.
‘’Nawashangaa sana wagombea wa upinzani waliokaa
zaidi ya miaka arobaini wanaothubutu kuisema serikali kwani wao hawakuwa
viongozi basi hawana sifa za kugombea maana nao hakuna walichokifanya’’ Alisema
Kinana.
Aliwataka wananchi wa Jimbo la Vwawa wapime kuwa
mtu aliye kaa serikalini miaka mingi
anawaahidi watanzania neema kwa miaka mitano alikuwa anafanya nini kwa miaka yote aliyokuwa
ndani ya mfumo.
Hata hivyo Abdulrahman Kinana alikiri lazima wakubali
wakati wa mabadiriko umefika lakini mabadiriko hayawezi kuletwa na mtu wa umri ulio kwenda na aliyeitwa majina yote
mabaya bali mtu safi na mchapakazi.
‘’Unakuja kuleta mabadiriko umri wako wenyewe ni saa
kumi na mbili jioni neema gani utakayo waletea watanzania kwa muda huo’’
Alisema Abdulrahman.
Mbali na hayo aliwakumbusha wananchi wa Jimbo la
Vwawa kuwa wafanye kazi kwa bidii wasipotoshwe na kauli za wanasiasa kwani hakuna atakaye apishwa muda huohuo na akaleta
bodaboda asubuhi maendeleo bila jasho ni
kazi bure.
Enea Mwanja
Monday, 12 October 2015
Friday, 9 October 2015
PICHA
PICHA
Wednesday, 7 October 2015
Subscribe to:
Comments (Atom)

