Sunday, 21 September 2014

Kimondo tours

 Waziri wa kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza akisalimiana na Mkurugenzi wa Wilaya ya Momba, Anton Mwantona
 Waziri Christopher Chiza akisomewa taarifa kuhusu mradi wa umwagiliaji wa katika kijiji cha Iyendwe kilichopo katika Kata ya Kapele, Wilaya ya Momba.
Sehemu ya ukuta wa banio la maji lililoharibiwa na msukumo wa maji katika mradi wa umwagiliaji wa Iyendwe

No comments:

Post a Comment