Saturday, 30 January 2016

picha

Mkuu wa wilaya ya Momba Richard Mbeho akiwahimiza madiwani wa wilaya ya Momba kuitisha mikutano ya hazara ili kuwafafanulia wananchi miongozo mbalimbali ya serikali ili waweze kuielewa, katika balaza la madiwani lililofanyika katika Halmashauri ya Momba Januari 29 mwaka huu.

No comments:

Post a Comment