Thursday, 12 May 2016

Ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Songwe Luteni Mstaafu Chiku Galawa katika migodi ya Makaa ya Mawe yaliyopo katika Kijiji cha Magamba Wilaya ya Mbozi.




Mkuu wa Mkoa Luteni mtaafu  Chiku Galawa akipata maelezo ya uchimbaji Makaa ya mawe kutoka kwa msimamizi A. Mwakinyafu katika kijiji cha Magamba kilichopo mpakani mwa Wilaya ya Songwe na Mbozi
Mku wa Mkoa akibadilisha mawazo na ASP Nyandular Operation Officer wa Mkoa wa Songwe.

No comments:

Post a Comment