Thursday, 4 December 2014

Katibu Mwenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wilaya ya Mbozi Emmanuel Zambi akiwahutubia wananchi wa Kata ya Vwawa kwenye kampeni za uchaguzi wa Wenyeviti  wa  Serikali za Mitaa Disemba 2 mwaka huu.

No comments:

Post a Comment