Tuesday, 27 October 2015

PICHA

Baadhi ya wanachama wa CCM wakiwa katika ofisi ya halmashauri ya Momba wakipinga matokeo ubunge yaliyotangazwa na mkurugenzi wa wilaya hiyo ambapo mgombea wa CCM  Dr. Luka Siame aliyeshindwa kwa kuzidiwa na mgombea wa Chadema David Silinde

No comments:

Post a Comment