Thursday, 7 April 2016

Picha

Mkuu wa wilaya ya Momba Richard Mbeho akimpokea mkuu wa Mkoa mpya wa Songwe Luteni mstaafu Chiku Galawa katika Halmashauri ya  wilaya ya Momba April 5 mwaka huu. ikiwa ni mwendelezo wa kujitambulisha katika wilaya za mkoa wa Songwe.

No comments:

Post a Comment