Thursday, 7 April 2016

Picha

Mkuu wa mkoa Mpya wa Songwe Luteni mstaafu Chiku Galawa akinawa mikono baada ya kupanda mti katika sekondari ya Itumba wilayani Ileje, ili kuhamasisha jamii ipande miti kupambana na mabadiliko ya tabianchi.

No comments:

Post a Comment