Thursday, 7 April 2016

Picha

Watumishi na wadau mbalimbali wa Halmashauri ya wilaya ya Momba wakimsikiliza kwa makini Mkuu wa mkoa mpya wa Songwe Luteni mstaafu Chiku Galawa wakati wa ziara yake katika ukumbi wa mikutano uliopo kwenye makao makuu ya muda Ukwile Mbozi.

No comments:

Post a Comment