Thursday, 7 April 2016

Picha

 Mkuu wa mkoa wa Songwe Luteni mstaafu Chiku Galawa akisalimiana na kaimu mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Momba Christopher Henerico April 5 mwaka huu wakati wa ziara ya mkuu wa mkoa katika kufahamiana na watumishi  mbalimbali wa wilaya hiyo.

No comments:

Post a Comment